RIHANA NA CHRIS BROWN BADO NI WAPENZI! WAONEKANA NIGHT CLUB KTK MAPOZI YA KIMAHABA
Chris Brown |
Kwa mujibu wa taarifa hizi mtu mzima Chriss brown alikuwa na Bow Wow ambapo walikaa meza moja na mwanadada huyo mwenye miaka 24 na kuendelea kula bata mpaka kuku aone wivu.
Imedaiwa kuwa mara baada ya kutosheka kula bata katika klabu hiyo alianza kuondoka mtu mzima Chriss Brown majira ya saa tisa na nusu usiku mnene na badae Rihana pia akajikataa.
Ukweli ni kwamba mwanadada huyo alishawai kusema wakati alipokuwa akifanya mahojiaho na Oprah katika kipindi cha Tv Kuwa bado anampenda Chriss.
Rihana |
Comments
Post a Comment