TOZI GAMBA AFUNIKA SHOW YAKE NA THE TRACK MASTERS DJS BWALO LA POLISI MWISENGE SIKU YA CHRISTMAS

ikafika muda tozi na sinyorita wakapiga mavazi kivingine
makamuzi ya tozi yanaendelea
Hapa nikitoa maelekezo kwa watoto kuondoka make muda wao ulikua umekwisha
Hapa ni sehemu ya jikoni na Albert hapa anaweka order ya mchemsho siku ya krismac
Wadau wa The Track Master walifika asubuhi kutoa sapoti wakati wa maandalizi kutoka kulia ni mshikaji wetu ALBET wa vodacom akiwa na fans wetu wengine Denis wa muwasa mwenye shati jeupe
Viunga tofauti tofauti ambavyo vimedizainiwa kwa ubunifu wa hali ya juu pale bwalo
Hii ndio Kaunta ya nje ambayo inatumika kwa sasa
Haya ndio mandhari halisi ya ufukwe wa bwalo la polisi yani kumetulia sana ebu fika pale upate huduma safi ya vinywaji na chakula kwa bei poa kabisa
Nyomi ilikua ya kutosha katika ufukwe wa bwalo la polisi mwisenge eneo lote lilijaa watu balaaa usichezee The Track Masters Djs weweeeeeeeeeeeeeee
Watoto walikuja kwa wingi sana bwalo la polisi hii ni kudhirisha kuwa tozi gamba ndio habari ya mjini hakuna cha nani wala nani
Tozi Gamba a.k.a Mtoto wa Mama Mzigo akikamua Show ya mchana pale Bwalo la Polisi Mwisenge siku ya Christmas
Tozi Gamba akiwa na Sinyorita wakati wa makamuzi ya mtoto wa mama mzingo kila kitu kilo

Comments

Popular posts from this blog

KATI YA KUKU NA YAI KIPI KILITANGULIA?

NGUO ZA NDANI ZINAZOBANA KWA WANAUME ZINAATHIRI UWEZO WA MBEGU ZA KIUME KUWEZA KUTUNGA MIMBA