ADAI WENGINE NI WAZOEFU WA KUONGOZA KUMBI ZA MUZIKI, ATAMBA CCM KINA ZAIDI YA WATU 20 WENYE SIFA ZA URAIS, ZITTO AMJIBU
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM, Samuel Sitta amekiponda Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akidai kuwa muda wake wa kutawala
nchi bado, kwa kuwa hakina viongozi wa kutosha wa kufanya kazi za
Serikali ukimwondoa Katibu Mkuu wake, Dk Willibrod Slaa.Habari zaidi ingia www.mwananchi.co.tz
Comments
Post a Comment