Posts

Showing posts from November, 2013

AJALI MBAYA ALIYOIPATA NDUGU YANGU DOMMY MKONO JUMAPILI 10/11/2013 MAGU

Image
BAADA YA AJALI GARI LIKIREKEBISHWA KWA AJILI YA KUVUTWA KULETWA MUSOMA SEHEMU YA KUSHOTO YA MUONEKANO BAADA YA AJALI AJALI ILIKUA MBAYA SANA KAMA UNAVYOONA YANI NI KUMUOMBA TU MUNGU SEHEMU YA MBELE YA GARI HILI IMEHARIBIKA VIBAYA HILI GARI LILILOKUA LIMEPAKI NA KUSABABISHA AJALI  MAENEO YA MAGU WATU WA USALAMA WAKIPIMA ANGALIA HUO MSTARI UNAONYESHA BREAK ALIZOZOSHIKA DOMI MPAKA ALIPOLIFIKIA ROLI HAPO KWA TRAFIKI WA KIKE. BAADA YA AJALI KUTOKEA HILI ROLI LILISOGEZWA PEMBENI KABISA YA BARABARA ILI MAGARI MENGINE YAWEZE KUPITA VIZURI BAADA YA KUMALIZA TARATIBU ZOTE  KATIKA KITUO CHA POLISI MAGU ILIFUATA KAZI YA KULIVUTA GARI HILI KULILETA MJINI MUSOMA NA HII ILIKUA JUMATATU 11/11/2013 SAA 11:16 JION SEHEMU YA NDANI MBELE PIA ILIHARIBIKA VIBAYA KAMA INAVYOONEKANA BAADA YA AJALI

VIWANGO VYA ALAMA YA MWANAFUNZI NA UFAULU

                                   JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA                                 WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI UPANGAJI WA VIWANGO VYA ALAMA, MATUMIZI YA ALAMA ENDELEVU YA MWANAFUNZI NA UFAULU UTANGULIZI Wizara imekusanya maoni ya Wadau wa Elimu kuhusu Upangaji wa Viwango vya Alama (Grade Ranges) katika Mitihani ya Kuhitimu Kidato cha Nne na cha Sita pamoja na Matumizi ya Alama za Tathmini Endelevu ya Mwanafunzi (Continuous Assessment ama  CA ) kwa ajili ya kuamua kiwango cha ufaulu wa mwanafunzi. Maoni ya wadau yamekusanywa kwa sababu kwa muda mrefu sasa upangaji wa viwango vya alama vinavyotumika na utaratibu wake katika mitihani ya kuhitimu Kidato cha Nne na Kidato cha Sita umekuwa haufanani pamoja na kwamba mitihani hiyo yote ni ya elimu ya sekondari. Pia mfumo masuala mbalimbali ya mitihani katika elimu ya sekondari umekuwa na miundo tofauti ikiwemo ule unaotumika shuleni na ule wa Baraza la Mitihani la Taifa. Kwa sasa kuna miundo m